4/28/2005

WAZEE AFRIKA NI VYUO VIKUU!

Wazee Afrika ni vyuo vikuu ni moja ya makala mpya nne nilizoweka hapa bloguni leo. Nilikuwa sijapandisha makala zangu kwa muda. Sasa nimeweka nne kwa wakati mmoja. Makala zote hizi tayari zimetoka kwenye safu yangu ya kila jumapili, Gumzo la Wiki, katika gazeti la Mwanchi nchini Tanzania. Makala zenyewe ni hizi (bonyeza juu ya kichwa cha makala unayotaka kusoma): 1. Wazee Afrika ni yuo Vikuu 2. Wamasai, Polisi, Watumishi, na Watumikiwa 3. Ukoloni Mpya Umejificha: Jiandae kifikra 4. Mapana na Marefu ya Neno Amani
Makala hizi na nyingine ziko katika kona ya makala zangu upande wa kuume wa blogu, chini ya picha yangu.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com