5/02/2005

UMEISIKIA "Initiative B@bel"?

Wakati ambapo kuna lugha zaidi ya 6000 duniani, zaidi ya asilimia 90 ya mambo yote yaliyoko kwenye mtandao wa kompyuta yako kwa lugha 12 tu! Soma hapa kuhusu mradi wa Initiative B@bel. Je kwa mwendo huu tunaweza kusema kuwa dunia imeingia kwenye zama za jamii-maarifa/ jamii-habari?

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com