5/28/2005

Naondoka leo

Mshikaji wangu, Donald (jamaa nikitaka kumwelezea sijui nitaanzia wapi), ananizungusha katika jiji la Egoli. Tumetoka katika mahakama ya katiba ambayo ilikuwa ni gereza liitwalo Old Fort. Nimepita kwenye mgahawa huu kutazama jambo fulani kwenye mtandao. Picha na yote yanayohusu mkutano wa Commons-Sense ni mpaka nitakapowasilia Babiloni kwa Joji Kichaka mwizi wa kura. Ninaondoka leo usiku.
Uhuru!

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com