5/26/2005

BLOGU MOJA KWA MOJA TOKA MKUTANO WA COMMONS-SENSE

Wanafunzi 15 na walimu wawili wa maabara ya uandishi wa zana mpya za habari katika idara ya uandishi wa habari ya chuo kikuu cha Rhodes hapa Afrika Kusini wanablogu moja kwa moja toka mkutanoni. Nenda hapa ufuatilie kila kinachotendeka kila dakika!

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com