5/05/2005

BLOGU NYINGINE TENA JAMANI YA KISWAHILI!

Tanga kunani? Kuna wimbo ule wanasema kuwa Tanga watu huoga na maji yenye viungo kama mdalasini na iliki! Na Dokta Remmy, katika kibao cha Mariamu anasema, "Waja leo, warudi leo, Tanga mbali..." Sasa kaingia binti kutoka Tanga katika ulimwengu wa blogu za Kiswahili. Blogu yake inaitwa Wanawake na Maendeleo. Nenda hapa umsome na kumkaribisha.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com