11/20/2004

Blogu ya Kona Yangu Yarudi na Vipande vya Wabunge

Jana niliizungumzia blogu ya Kona yangu kuwa ilikuwa ni ya kwanza kutupa vipande toka Bungeni Dodoma. Ila nikasema jamaa (Simon Mkina) kawa kimya. Sasa amerudi. Bonyeza hapa usome.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com