10/09/2004

WIZI WA URITHI WA WAAFRIKA

Uingereza kama yalivyo mataifa mengine ya Ulaya yaliyoitawala Afrika bado inashikilia vitu vya kitamaduni na kidini walivyoiba toka Afrika. Vitu hivi wameweka kwenye majumba yao ya makumbusho bila aibu yoyote. Soma habari hii ya Waethiopia wanaopambana kurudisha urithi wao ulioibwa na Waingereza. Bonyeza hapa.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com