10/09/2004

WANGARI MATHAI NA NISHANI YA NOBELI

Wangari Mathai, naibu waziri wa mazingira na kiongozi wa vuguvugu la ukanda wa kijani (green belt movement) amekuwa mwanamke wa kwanza kupata nishani ya Nobeli ya amani. Kuna baadhi ya watu ambao wamepinga kupewa nishani hiyo kwa mwanaharakati wa mazingira maana hawaoni uhusiano wa utunzaji wa mazingira na amani. Hawa ni watu wenye tafsiri finyu sana ya amani. Bonyeza hapa kusoma habari yake kwa undani.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com