8/17/2004

KUMBE MKAPA UKO HIVI?

Huwa inatokea. Imetokea leo asubuhi, ingawa ni mara chache sana. Rais Mkapa wa Tanzania katoa hotuba ambayo imechemsha damu yangu kabisa. Ni mara chache sana huwa ninakubaliana na wanasiasa (wana si-hasa), au ninahamasika kwa kuwasikiliza au kusoma hotuba zao. Lakini asubuhi ya leo nimesoma hii hotuba ya Mkapa. Na kuisoma na kuisoma tena. Na tena. Na tena. Pamoja na kuwa Mkapa ni kati ya marais wa hotuba (yaani ambao kazi zao zinaonekana kwenye hotuba zaidi ya vitendo) nadhani ni haki kumvulia kofia kutokana na hotuba yake hii. Bonyeza hapa ili uisome.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com