7/08/2005

Wanablogu wa Kiislamu na mabomu London

Kwenye blogu ya Global Voices kuna taarifa kuhusu wanablogu wa kiislamu wakizungumzia mabomu London.
Leo ndio siku ya mwisho ya mkutano wa makuhani wakuu wa ubepari. Ukitazama maandalizi, muda, na fedha zilizotumika kwenye mkutano huu huwezi kuamini kwanini wanakutana kwa siku chache hivyo. Muda si mrefu tutaondoka. Wote hapa tuna hamu ya kukutana na marais toka Afrika walioalikwa kwenye makombo. Meza kuu ina wanaume nane. Jana wala makombo walikuwa ni viongozi wa nchi za Brazili, India, n.k.

1 Maoni Yako:

At 7/08/2005 06:17:00 AM, Anonymous Anonymous said...

Ugaidi hauna uhusiano na uislamu

 

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com