3/01/2005

NANI ATAKUWA MWIZI WA TANZANIA 2005-2010?

Usiniulize eti ninadhani nani atakuwa rais wa Tanzania baada ya rais Mkapa kumaliza muda wake. Niulize nani atakuwa mwizi mkuu wa Tanzania toka Oktoba 2005 hadi 2010?

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com