2/25/2005

HADITHI MPYA TOKA KWA FREDDY MACHA

Freddy Macha leo kaja na hadithi iitwayo Mzee Umombo. Hadithi hii iko katika mkusanyiko wake utakaochapwa kitabuni nchini Tanzania hivi karibuni uitwao Mpe Maneno Yake. Hadithi za Freddy zinaandikwa kwa staili ya aina yake: maudhui, lugha, lugha ya picha na vionjo vingine vya kifasihi vinafinyangwa kama tonge la ugali wa saa sita mchana siku ile ambayo una njaa sana. Nenda katika kona yake iliyoko upande wa kuume chini ya makala zangu.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com