1/16/2005

TANZANIA: UTANI, UTANI...

Usiku.Watu wananoa mapanga.
Usiku. Nyumba zinawekewa alama nyekundu ya X.

Mchana wanarushiana maneno. Kichwa kwa kichwa. Ulimi kwa ulimi.
Mchana. Walinda amani wanaiharibu kwa kuua.
Kuua raia.
Piga. Fyatua. Ua. Fanya Fujo Uone

Utani, utani...mara imekuwa kweli.
Umesikia hii?

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com