12/23/2004

ULIKUWA UNAJUA?

Je unafahamu kuwa krisimasi nchini Abisinia (Ethiopia) husherehekewa tarehe 7 Januari? Krisimasi nchini humo huitwa Ganna.
Labda ulikuwa pia hufahamu kuwa mwaka mpya nchini humo ambao huitwa Enkutatash, husherehekewa tarehe 11 Septemba. Absisinia hufuata kalenda ya Juliani ambayo ina miezi kumi na mbili ya siku 30 na mwezi mmoja (wa kumi na tatu) wenye siku tano! Kalenda hii, Juliani, iko nyuma kwa miaka saba na miezi nane ya kalenda ya Kiregori ambayo hutumiwa na mataifa mengi duniani.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com