2/18/2005

SAMAHANI KUNA TATIZO

Kuna tatizo kwenye blogu yangu. Baadhi ya watu wakiifungua, upande wa kuume wenye picha, makala zangu, kona ya Freddy Macha, Kalamu ya Padri Karugendo, viunganishi vya blogu na tovuti nyingine, n.k. unahama na kwenda chini kabisa. Ninashughulikia tatizo hilo. Pia usiku nitaongeza makala za Freddy Macha na Padri Karugendo kutokana na maombi ya wengi. Pia kutokana na mimi kuzipenda.

0 Maoni Yako:

Post a Comment

<< Home

FREE hit counter and Internet traffic statistics from freestats.com